Friday, May 2, 2025

JE , MSHAHARA WAKO WA KILA MWEZI WA KUTOSHA ???? UTAISHI UKIFUKUZA MAISHA MPAKA UNAZEEKA ------ ????

 Mpendwa Rafiki,

‎Unajua nini kinauma kuliko mshahara mdogo?

‎Ni kuwa na mshahara lakini bado unaishi kama huna kazi.

‎Kila mwezi hela zinaingia… lakini hazikai.

‎Kila siku unasema, Mwaka huu lazima nibadili maisha… lakini bado umerudi palepale.

‎Unajituma kazini, unachoka, lakini mafanikio yako bado yako pending!

‎Halafu cha ajabu… watu walioanzisha biashara wakiwa bado kwenye ajira, leo hii wameanza kuamua hata siku ya ku-resign.

‎Wewe bado unaota tu, “siku moja…”
‎Siku moja haiji bila hatua, bro!

‎Ngoja nikuambie ukweli mchungu lakini wa maana…

‎Kama hujui kudili na pesa zako, hujui kupangilia muda wako vizuri, hujui kujiwekea direction ya mafanikio hata upewe mshahara mara mbili, bado utalia.

‎Utaishi ukifukuza maisha mpaka unazeeka.

ENDELEA   KUJIFUNZA    MENGI    NDANI YA    HII    BLOG  INAYOITWA     ELIMU    UJUZI  TANZANIA  BLOG  

INAYOENDESHWA    NA   MWL  .  JAPHET   MASATU--  

WA   DAR  ES   SALAAM  ,   TANZANIA ,   AFRIKA    YA  MSHARIKI  TUWASILIANE   KWA  CALL   /   SMS   /  WHATSAPP   +  255  716  924 136

No comments:

Post a Comment

WHATSAPP NUMBER