Dunia inaendeshwa kwa upacha , kwenye DINI kuna MUNGU na SHETANI , kwenye SAYANSI tuna CHANYA NA HASI , kwenye FALSAFA tuna WEMA na UOVU. Lakini yote haya ni hali ya FIKRA ZETU . Kama FIKRA zetu zikisimamiwa vizuri zinaleta matokeo mazuri , kama zisiposimamiwa zinaleta matokeo mabaya. CHAGUA kupeleka Fikra zako kwenye kile unachotaka na siyo usichotaka , kwa sababu FIKRA zinazotawala AKILI yako ndizo zinazoleta matokeo kenye maisha yako. ( MWL / COACH JAPHET MASATU 1976---2026 --TANZANIA---AFRIKA MASHARIKI )
ELIMU UJUZI BLOG NI BLOG YA JAMII AMBAYO NDANI YAKE KUNA ELIMU , UJUZI , UBUNIFU , MAFUNZO MBALIMBALI , UTAALAMU , STADI ZA MAISHA. AKIBA . UWEKEZAJI , UJASIRIAMALI , DINI , SAIKOLOJIA , TEOLOJIA , FALSAFA , NIDHAMU , ELIMU YA PESA , KUSOMA RIWAYA / HADITHI , USHAIRI , MICHEZO YA KUIGIZA . KARIBU UPATE MAARIFA UWEZE KUJIAJIRI NA KUFANIKIWA KATIKA MAISHA.
Saturday, August 29, 2026
Thursday, August 13, 2026
Wednesday, August 12, 2026
Saturday, August 1, 2026
MUNGU HAKUKAMILISHA DUNIA: KWA NINI ALIMPA MWANADAMU KIPAJI CHA UBUNIFU ?? ----NA MWL / KOCHA / COACH / BLOGGER / MWANDISHI / MOTIVATIONAL / PUBLIC SPEAKER / MC JAPHET MASATU ------CALL / SMS / WHATSAPP + 255 716 924136 / + 255 755 00128
MUNGU alitupatia DUNIA hii ikiwa haiko kamili ili nasi tushiriki katika UUMBAJI ( UBUNIFU ).MUNGU alifanya MITI lakini hakufanya VITI , KABATI , MEZA , n.k. MUNGU alitengeneza ARDHI na MADINI lakini hakufanya MAGARI , VIOO , MABATI , n,k, MUNGU hakufanya vyote hivyo akijua SISI ametuumba tukiwa na KIPAJI CHA UBUNIFU.
TUNAPOBUNI kitu chenye kusaidia binadamu tunapata MAFANIKIO. CHA AJABU SISI TUMEKUWA SIYO WABUNIFU , TUNALALAMIKA UMASKINI NA KUWA OMBA OMBA.
( BY MWL / KOCHA / COACH / MWANDISHI / BLOGGER , MOTIVATIONAL / PUBLIC SPEAKER JAPHET MASATU-----CALL / SMS / WHATSAPP + 266 716 924136 / + 255 755 400 128
Sunday, July 12, 2026
Friday, May 8, 2026
Friday, May 1, 2026
ARTICLE---- 10 RULES FOR MEN ---BY COACH MWL JAPHET MASATU -----CALL / SMS / WHATSAPP + 255 716 924 136
1. Never reconcile with a lady who has cheated on you.
She demonstrated her true self to you. Don't turn into a fallback or a choice for her. Have enough self-respect to go and never return.
2. You should never be treated disrespectfully.
You lose control of yourself the instant you give in to it. Demand respect, be forceful, and don't settle for anything less. People need to understand that you are a valuable man.
3. Avoid shaking hands while seated.
It's an indication of weakness and indolence. Get to your feet, meet their gaze, and hold on tightly. Make sure your handshake conveys respect because it is your word.
4. Don't spend a fortune trying to impress people.
The only people who give up their future for temporary approval are idiots. While you amass wealth, let others pursue vanity.
5. You should never eat the last of something you didn't purchase.
It comes down to self-control and respect. A true guy is aware of when to stand back and when to take. Be respectful, have self-control, and never take without giving.
6. If you are unsure of the answer to a question, stop for at least five seconds before responding.
It demonstrates your self-control and lack of impatience. A quick mouth is not the same as a quick thought. Think, then talk authoritatively.
7. Don't ask for love.
You are no longer valuable the instant you do. Real men attract rather than chase. If she doesn't think you're valuable, walk away with a smile on your face.
8. Shake hands firmly and firmly.
It conveys respect, strength, and confidence. A weak man is demonstrated by a poor handshake. Hold on with intention, make eye contact, and allow them to sense your presence.
9. Exercise four times a week or more.
Strength is the cornerstone of a powerful life, and your body is your temple. No short cuts, no excuses—just commitment and discipline. Being at your best is something you owe to yourself.
10. Develop your self-defense skills.
The world is at the mercy of a guy who is unable to defend himself. Knowing that you can manage any situation gives you strength, skill, and confidence. Be your own first and last line of defense; don't depend on other people to keep you safe.